< Zaburi 14 >

1 Mpumbavu husema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wamepotoka nakufanya uovu haramu; hakuna hata mmoja atendaye dhambi.
To the choirmaster of David he says a fool in heart his there not [is] a god they act corruptly they do abominably deed[s] there not [is one who] does good.
2 Yahwe anatazama chini kwa wanadamu kutoka mbinguni aone kama kuna yeyote anayeelewa, amtafutaye Mungu.
Yahweh from heaven he looks down on [the] children of humankind to see ¿ [is] there [one who] acts prudently [one who] seeks God.
3 Wote wamegeukia njia nyingine. Kwa pamoja wamepotoka. Hakuna yeyote atendaye mema, hakuna, hata mmoja.
Everyone he turns aside all together they are corrupt there not [is one who] does good there not also [is] one.
4 Je, hawajui lolote, wale wafanyao uovu, wale wanao kula watu wangu kama vile wanakula mkate, lakini hao hawamuiti Yahwe?
¿ Not do they know all [those who] do wickedness [those who] devour people my they eat bread Yahweh not they call on.
5 Wao wana tetemeka kwa hofu. Kwa kuwa Mungu yuko pamoja na kusanyiko la wenye haki!
There - they fear a fear for God [is] with a generation righteous.
6 Ninyi mnataka kumfedhehesha mtu maskini japo kuwa Yahwe ni kimbilio lake.
[the] plan of [the] poor You will put to shame for Yahweh [is] refuge his.
7 Oh, kwamba wokovu wa Israeli ungetokea Sayuni! Wakati Yahwe akiwarudisha watu wake kutoka utumwani, ndipo Yakobo atashangilia na Israeli itakuwa na furaha!
Who? will he give [will be] from Zion [the] deliverance of Israel when turns back Yahweh [the] captivity of people his let him rejoice Jacob let him be glad Israel.

< Zaburi 14 >