< Zaburi 14 >
1 Mpumbavu husema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wamepotoka nakufanya uovu haramu; hakuna hata mmoja atendaye dhambi.
“For the leader of the music. A psalm of David.” The fool saith in his heart, “There is no God.” They are corrupt; abominable are their doings; There is none that doeth good.
2 Yahwe anatazama chini kwa wanadamu kutoka mbinguni aone kama kuna yeyote anayeelewa, amtafutaye Mungu.
Jehovah looketh down from heaven upon the children of men, To see if there are any that have understanding, That have regard to God.
3 Wote wamegeukia njia nyingine. Kwa pamoja wamepotoka. Hakuna yeyote atendaye mema, hakuna, hata mmoja.
They are all gone out of the way; together are they corrupt; There is none that doeth good—no, not one.
4 Je, hawajui lolote, wale wafanyao uovu, wale wanao kula watu wangu kama vile wanakula mkate, lakini hao hawamuiti Yahwe?
Shall not the evil-doers be requited, Who devour my people like bread, And call not upon Jehovah?
5 Wao wana tetemeka kwa hofu. Kwa kuwa Mungu yuko pamoja na kusanyiko la wenye haki!
Yea, then shall they be in great fear; For Jehovah is with the race of the righteous.
6 Ninyi mnataka kumfedhehesha mtu maskini japo kuwa Yahwe ni kimbilio lake.
Ye would put to shame the counsel of the poor; But Jehovah is their refuge.
7 Oh, kwamba wokovu wa Israeli ungetokea Sayuni! Wakati Yahwe akiwarudisha watu wake kutoka utumwani, ndipo Yakobo atashangilia na Israeli itakuwa na furaha!
Oh that salvation for Israel would come out of Zion! When Jehovah bringeth back the captives of his people, Then shall Jacob rejoice, and Israel be glad.