< Zaburi 14 >

1 Mpumbavu husema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wamepotoka nakufanya uovu haramu; hakuna hata mmoja atendaye dhambi.
TO THE OVERSEER. BY DAVID. A fool has said in his heart, “There is no God”; They have done corruptly, They have done abominable actions, There is not a doer of good.
2 Yahwe anatazama chini kwa wanadamu kutoka mbinguni aone kama kuna yeyote anayeelewa, amtafutaye Mungu.
YHWH has looked from the heavens on the sons of men, To see if there is a wise one—seeking God.
3 Wote wamegeukia njia nyingine. Kwa pamoja wamepotoka. Hakuna yeyote atendaye mema, hakuna, hata mmoja.
The whole have turned aside, Together they have been filthy: There is not a doer of good, not even one.
4 Je, hawajui lolote, wale wafanyao uovu, wale wanao kula watu wangu kama vile wanakula mkate, lakini hao hawamuiti Yahwe?
Have all working iniquity not known? Those consuming my people have eaten bread, They have not called YHWH.
5 Wao wana tetemeka kwa hofu. Kwa kuwa Mungu yuko pamoja na kusanyiko la wenye haki!
They have feared a fear there, For God [is] in the generation of the righteous.
6 Ninyi mnataka kumfedhehesha mtu maskini japo kuwa Yahwe ni kimbilio lake.
You cause the counsel of the poor to stink, Because YHWH [is] his refuge.
7 Oh, kwamba wokovu wa Israeli ungetokea Sayuni! Wakati Yahwe akiwarudisha watu wake kutoka utumwani, ndipo Yakobo atashangilia na Israeli itakuwa na furaha!
“Who gives the salvation of Israel from Zion?” When YHWH turns back [To] a captivity of His people, Jacob rejoices—Israel is glad!

< Zaburi 14 >