< Zaburi 14 >

1 Mpumbavu husema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wamepotoka nakufanya uovu haramu; hakuna hata mmoja atendaye dhambi.
Unto the end. A Psalm of David. The fool has said in his heart, “There is no God.” They were corrupted, and they have become abominable in their studies. There is no one who does good; there is not even one.
2 Yahwe anatazama chini kwa wanadamu kutoka mbinguni aone kama kuna yeyote anayeelewa, amtafutaye Mungu.
The Lord has looked down from heaven upon the sons of men, to see if there were any who were considering or seeking God.
3 Wote wamegeukia njia nyingine. Kwa pamoja wamepotoka. Hakuna yeyote atendaye mema, hakuna, hata mmoja.
They have all gone astray; together they have become useless. There is no one who does good; there is not even one. Their throat is an open sepulcher. With their tongues, they have been acting deceitfully; the venom of asps is under their lips. Their mouth is full of curses and bitterness. Their feet are swift to shed blood. Grief and unhappiness are in their ways; and the way of peace, they have not known. There is no fear of God before their eyes.
4 Je, hawajui lolote, wale wafanyao uovu, wale wanao kula watu wangu kama vile wanakula mkate, lakini hao hawamuiti Yahwe?
Will they never learn: all those who work iniquity, who devour my people like a meal of bread?
5 Wao wana tetemeka kwa hofu. Kwa kuwa Mungu yuko pamoja na kusanyiko la wenye haki!
They have not called upon the Lord. There, they have trembled in fear, where there was no fear.
6 Ninyi mnataka kumfedhehesha mtu maskini japo kuwa Yahwe ni kimbilio lake.
For the Lord is with the just generation. You have confounded the counsel of the needy because the Lord is his hope.
7 Oh, kwamba wokovu wa Israeli ungetokea Sayuni! Wakati Yahwe akiwarudisha watu wake kutoka utumwani, ndipo Yakobo atashangilia na Israeli itakuwa na furaha!
Who will grant the salvation of Israel from Zion? When the Lord turns away the captivity of his people, Jacob will exult, and Israel will rejoice.

< Zaburi 14 >