< Zaburi 139 >

1 Ee Yahwe, wewe umenichunguza, na unanijua.
Hina Gode! Dia da na hou abodele, huluane dawa:
2 Wewe unajua nikaapo na niinukapo; unayajua mawazo yangu tokea mbali sana.
Dia da na hamobe huluanedafa dawa: Di da badiliawane lela, na asigi dawa: su huluane dawa:
3 Unachunguza wenendo wangu na kulala kwangu; unazijua njia zangu zote.
Na da hawa: hamonanea amola hele esalea, na hamobe huluane Dia dawa:
4 Kabla hakujawa na neno kwenye ulimi wangu, wewe unalijua kabisa, Yahwe.
Na da hame sia: iawane, na sia: musa: dawa: i huluane Dia dawa:
5 Nyuma yangu na mbele yangu unanizunguka na kuniwekea mkono wako.
Di da na sisiga: le, Dia gasaga na gaga: i diala.
6 Maarifa hayo ni mengi yananizidi mimi; yako juu sana, nami siwezi kuyafikia.
Dia na hou dawa: digi da oso dogoi. Be na da Dia hou dawa: digimu da hamedei.
7 Niende wapi mbali na roho yako? Niende wapi niukimbie uwepo wako?
Na da Diba: le hobeamu da hamedei. Na da Dia midadi fisili hobeamu da hamedei.
8 Kama nikipaa mbinguni, uko huko; kama nikifanya kitanda changu Kuzimuni, tazama, uko huko. (Sheol h7585)
Na da muagado heda: i ganiaba, Di da amogawi esalebe ba: la: loba. Na da bogosu sogebia asiaba, Di da amogawi esalebe ba: la: loba. (Sheol h7585)
9 Kama nikipaa kwa mbawa za asubuhi na kwenda kuishi pande za mwisho wa bahari,
Na eso maba gusu hagili ahoa ganiaba, o guma: dini badiliadafawane esala ganiaba,
10 hata huko mkono wako utaniongoza, mkono wako wa kuume utanishika.
Di da amogai na oule bisili masa: ne amola na fidima: ne esalebe ba: la: loba.
11 Kama nikisema, “Hakika giza litanifunika, na nuru inizungukayo itakuwa usiku,”
Na da gasi ea na wamolegema: ne adole ba: loba, o hadigi nama sisiga: i dialebe amoea afadenene bu gasima: ne adole ba: loba, na da wamolegei dagoi hame ba: la: loba.
12 Hata giza lisingweza kuwa giza kwako. Usiku ungeng'aa kama mchana, maana giza na nuru kwako vinafanana.
Bai gasi dunasi da Dima gasi hame gala, amola gasi da Dia siga eso ea hadigi agoai ba: sa. Gasi amola hadigi da Dima defele ba: sa.
13 Wewe uliumba sehemu zangu za ndani; uliniumba tumboni mwa mama yangu.
Di da na da: i huluane hahamoi. Di da na da: i huluane na: me ea hagomo ganodini disisi.
14 Nitakusifu, kwa maana nimeumbwa kwa jinsi ya ajabu. Nafsi yangu yalijua hili vizuri sana.
Dunu huluane da Diba: le beda: mu da defea. Amaiba: le, na Dima nodosa. Dia hamobe huluane da degabo amola noga: idafa. Amo huluane na dawa:
15 Mifupa yangu haikusitirika kwako nilipoumbwa kwa siri, nilipoumbwa kwa ustadi pande za chini za nchi.
Di da na gasa na: me ea hagomo ganodini noga: le hahamone, disisilaloba, na da amogawi wamowane alelaloba, na da amogawi esaloba, Di da na dawa: digi dagoi.
16 Uliniona ndani ya tumbo; siku zote zilizo pangwa kwangu ziliandikwa kitabuni mwako hata kabla ya siku ya kwanza kutokea.
Na da hame lalelegeiawane, Dia na dawa: i. Na da hame lalelegeiawane na esaloma: ne ilegei, amo Di da Dia meloa amo ganodini dedene legei.
17 Ni jinsi gani mawazo yako ni ya thamani kwangu, Mungu! Njinsi ilivyo kubwa jumla zake!
Gode! Dia asigi dawa: su amo na dawa: mu bagadewane gogolesa. Dia asigi dawa: su da bagohame gala.
18 Kama nikijaribu kuyahesabu ni mengi kuliko mchanga. Niamkapo bado niko na wewe.
Na da Dia asigi dawa: su idisa ganiaba, ilia da idimu gogolei, sa: i boso su idi agoai gala: loba. Na da nedigisia, Di amola ani gilisili esalebe ba: sa.
19 Ee Mungu, kama ungewaua waovu; ondokeni kwangu enyi watu wenye vurugu.
Gode! Na dawa: loba da Dia wadela: i hamosu dunu fane lelegemu. Na dawa: loba da mosolasu dunu na yolesima: mu.
20 Wanakuasi wewe na kutenda udanganyifu; adui zako wananena uongo.
Ilia Dima lasogole baligidu sia: daha. Ilia Dia Dio amoma lasagole sia: sa.
21 Je, siwachukii hao, wale wakuchukiao Yahwe? Je, siwadharau wale wanao inuka dhidi yako?
Hina Gode! Na da Dima higabe dunu ilima bagade higasa. Na da Dima ododoga: be dunu ilima higasa.
22 Nawachukia kabisa; wamekuwa adui zangu.
Na da ili dafawanedafa higasa. Ilia da nama ha lai dunu agoai ba: sa.
23 Ee Mungu, unichunguze na kuujua moyo wangu; unijaribu na uyajue mawazo yangu.
Gode! Na asigi dawa: su, Dia abodema! Nama adoba: le, na asigi dawa: su hogole ba: ma.
24 Uone kama kuna njia ya uovu ndani yangu, na uniongoze katika njia ya milele.
Na wadela: iyale, Dia hogole ba: ma! Amola Dia fifi ahoanusu logoga masa: ne, nama logo olema.

< Zaburi 139 >