< Zaburi 138 >

1 Nitakushukuru kwa moyo wangu wote; mbele ya miungu nitakuimbia sifa.
مزمور داوود. ای خداوند، از صمیم قلب تو را سپاس می‌گویم. در حضور خدایان تو را شکر می‌کنم.
2 Nitasujundu mbele ya hekalu lako takatifu na kulishukuru jina lako kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na kwa uaminifu wako. Umelifanya muhimu zaidi neno lako na jina lako kuliko kitu chochote.
به سوی خانهٔ مقدّس تو خم شده، تو را عبادت می‌کنم و نام تو را به سبب محبت و وفاداریت می‌ستایم. به خاطر نام خود، به تمام وعده‌هایی که می‌دهی عمل می‌کنی.
3 Siku ile niliyo kuita, ulinijibu; ulinitia moyo na kuitia nguvu nafsi yangu.
هرگاه دعا کنم، جوابم را می‌دهی و به جانم قوت می‌بخشی.
4 Wafalme wote wa nchi watakushukuru wewe, Yahwe, maana watasikia maneno kutoka kinywani mwako.
ای خداوند، تمام پادشاهان جهان وقتی وعده‌های تو را بشنوند تو را خواهند ستود.
5 Hakika, wataimba kuhusu matendo ya Yahwe, kwa kuwa utukufu wa Yahwe ni mkuu.
آری، آنان کارهایی را که تو انجام داده‌ای خواهند سرایید زیرا پرشکوه و پرجلال هستی.
6 Maana ingawa Yahwe yuko juu, lakini anawajali wanyenyekevu, lakini hawatambui wenye majivuno.
اگرچه خداوند متعال است، اما به افراد فروتن توجه می‌نماید و کارهای متکبران از نظر او پوشیده نیست.
7 Nijapopita katikati ya hatari, wewe utauhifadhi uhai wangu; utanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu, na mkono wako wa kuume utaniokoa.
خداوندا، هر چند اکنون در سختی هستم، اما تو مرا خواهی رهانید؛ تو دشمنان مرا مجازات خواهی کرد و مرا با قدرت خویش نجات خواهی داد.
8 Yahwe yuko pamoja nami hadi mwisho; uaminifu wa agano lako, Yahwe, wadumu milele. Usiwaache wale ambao mikono yako imewaumba.
تو کار مرا به کمال خواهی رساند. ای خداوند، محبت تو ابدیست. کاری را که آغاز نموده‌ای به کمال برسان.

< Zaburi 138 >