< Zaburi 138 >
1 Nitakushukuru kwa moyo wangu wote; mbele ya miungu nitakuimbia sifa.
Davidin. Minä kiitän sinua kaikesta sydämestäni: jumalain edessä minä sinulle kiitosta veisaan.
2 Nitasujundu mbele ya hekalu lako takatifu na kulishukuru jina lako kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na kwa uaminifu wako. Umelifanya muhimu zaidi neno lako na jina lako kuliko kitu chochote.
Minä tahdon kumartaen rukoilla sinun pyhän templis puoleen, ja kiittää sinun nimeäs, sinun armos ja totuutes tähden; sillä sinä teit nimes ja sanas suureksi kaikkein ylitse.
3 Siku ile niliyo kuita, ulinijibu; ulinitia moyo na kuitia nguvu nafsi yangu.
Koska minä sinua avukseni huudan, niin sinä kuulet minua, ja annat sielulleni suuren väkevyyden.
4 Wafalme wote wa nchi watakushukuru wewe, Yahwe, maana watasikia maneno kutoka kinywani mwako.
Herra! sinua kiittävät kaikki kuninkaat maan päällä, että he kuulevat sinun suus sanoja,
5 Hakika, wataimba kuhusu matendo ya Yahwe, kwa kuwa utukufu wa Yahwe ni mkuu.
Ja veisaavat Herran teille, että Herran kunnia on suuri.
6 Maana ingawa Yahwe yuko juu, lakini anawajali wanyenyekevu, lakini hawatambui wenye majivuno.
Sillä Herra on korkia, ja katselee nöyriä, ja ylpiät tuntee kaukaa.
7 Nijapopita katikati ya hatari, wewe utauhifadhi uhai wangu; utanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu, na mkono wako wa kuume utaniokoa.
Jos minä vaeltaisin ahdistuksen keskellä, niin sinä virvoitat minua, ja lähetät kätes vihollisteni vihan päälle: sinun oikia kätes varjelee minua.
8 Yahwe yuko pamoja nami hadi mwisho; uaminifu wa agano lako, Yahwe, wadumu milele. Usiwaache wale ambao mikono yako imewaumba.
Herra tekee siihen lopun minun tähteni: Herra, sinun laupiutes on ijankaikkinen, älä käsialaas hylkää!