< Zaburi 137 >

1 Kando ya mito ya Babeli tuliketi na tulilia tulipokumbuka kuhusu Sayuni.
Ob rekah Babilonskih, ondi smo sedeli ter jokali, spominjajoč se Sijona.
2 Tulitundika vinubi vyetu kwenye miti ya Babylon.
Na vrbe v deželi obesili smo strune svoje,
3 Huko watekaji wetu walitaka tuwaimbie, na wale walio tudhihaki walitutaka sisi tufurahi, wakisema, “Tuimbieni moja ya nyimbo za Sayuni.”
Dasì so tam hoteli od nas veselih pesmi, ki so nas odpeljavali vjete, in ki so mučili nas govoreč: Pojte nam katero pesmi Sijonskih.
4 Tungewezaje kuimba wimbo unaomuhusu Yahwe katika nchi ya ugeni?
Kako bi bili peli pesem Gospodovo v tujcev deželi?
5 Kama nikikusahau wewe, Yerusalemu, basi mkono wangu wa kuume na usahau ujuzi wake.
Če pozabim tebe, Jeruzalem, pozabi naj se desnica moja.
6 Ulimi wangu na ushikamane juu ya kinywa changu kama nisipokufikiria tena, na kama sipendelei zaidi Yerusalemu kuliko furaha yangu kuu.
Jezik moj naj se mi prijemlje neba, ako se ne spominjam tebe, ako ne povzdigujem Jeruzalema nad glavo radosti svoje.
7 Kumbuka, Ee Yahwe, kile walichofanya Waedomu siku ya anguko la Yerusalemu. Walisema, “Ibomoeni, ibomoeni mpaka chini kwenye misingi yake.”
Spomni se, Gospod, zoper Edomejce dneva Jeruzalemskega; kateri so rekli: "Razvalite, razvalite; dokler bode kaj podzidja v njem!"
8 Binti za Babeli, hivi karibuni wataharibiwa- mtu na abalikiwe, yeyote atakaye walipizia yale mliotufanyia sisi.
Rod Babilonski naj se pokončá; blagor mu, kdor ti bode povrnil hudodelstvo, katero si nam storil.
9 Mtu na abarikiwe, yeyote achukuaye na kusambaratisha watoto wenu juu ya jiwe.
Blagor, kdor zgrabi in razdrobi otroke tvoje ob skalo!

< Zaburi 137 >