< Zaburi 136 >
1 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Luvutudila Yave matondo bila niandi widi wumboti,
2 Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Luvutudila Nzambi yi zinzambi matondo,
3 Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Luvutudila Pfumu yi bapfumu matondo,
4 Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
niandi kaka, wumvanganga matsiminanga,
5 Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
niandi wuvanga diyilu mu diela diandi
6 Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Niandi wuyalumuna ntoto va mbata minlangu;
7 Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Niandi wuvanga kiezila kingolo
8 Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
thangu mu diambu di yadila muini,
9 Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
ngondi ayi zimbuetete mu diambu di yadila builu,
10 Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
kuidi niandi bila niandi wuvvonda bana batheti mu Ezipite,
11 Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
ayi wutotula bana ba Iseli va khatitsika basi Ezipite
12 Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
mu koko ku ngolo ayi ku yalumuka,
13 Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kuidi niandi bila niandi wuvasa mbu wu mbuaki mu zindambu zizole,
14 Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
ayi wuviokisila Iseli va khatitsika mbu wu mbuaki,
15 Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
vayi wulalumusa Falawo ayi masodi mandi mu mbu wu mbuaki,
16 Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
kuidi niandi bila niandi wudiatisa batu bandi mu dikanga;
17 Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
Niandi wuvonda mintinu minneni,
18 Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
ayi wuvonda mintinu mi lulendo,
19 Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Sihoni, ntinu basi Amoli,
20 Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
ayi Ongi, ntinu basi Basani,
21 Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
ayi wuvana zitsi ziawu banga kiuka,
22 Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
kiuka kuidi kisadi kiandi, Iseli,
23 Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
kuidi niandi, mutu wowo wututebukila moyo mu kambu kueto ku luvalu,
24 Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
ayi wutuvana kiphuanza mu bambeni zieto,
25 Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
ayi niandi wumvananga bidia kuidi kioso-kioso vangu,
26 Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Luvutudila Nzambi yi diyilu matondo