< Zaburi 136 >
1 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Wysławiajcież Pana, albowiem jest dobry; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
2 Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Wysławiajcież Boga nad bogami; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
3 Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Wysławiajcież Pana nad panami; albowiem na wieki miłosierdzie jego;
4 Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Tego, który sam czyni cuda wielkie; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
5 Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Który mądrze niebiosa uczynił; albowiem na wieki miłosierdzie jego;
6 Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Który rozciągnął ziemię na wodach; albowiem na wieki miłosierdzie jego;
7 Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Który uczynił światła wielkie; albowiem na wieki miłosierdzie jego;
8 Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Słońce, aby panowało we dnie; albowiem na wieki miłosierdzie jego;
9 Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Miesiąc i gwiazdy, aby panowały w nocy; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
10 Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Który poraził Egipczan na pierworodnych ich; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
11 Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Który wywiódł Izraela z pośrodku ich; albowiem na wieki miłosierdzie jego;
12 Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
W ręce mocnej i w ramieniu wyciągnionem; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
13 Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Który rozdzielił morze Czerwone na rozdziały; albowiem na wieki miłosierdzie jego;
14 Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
I przeprowadził lud Izraelski pośrodkiem jego; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
15 Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
I wrzucił Faraona z wojskiem jego w morze Czerwone; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
16 Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
Który prowadził lud swój przez puszczę; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
17 Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
Który poraził królów wielkich; albowiem na wieki miłosierdzie jego;
18 Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
I pobił królów możnych; albowiem na wieki miłosierdzie jego;
19 Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Sehona; króla Amorejskiego; albowiem na wieki miłosierdzie jego;
20 Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
I Oga, króla Basańskiego; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
21 Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
I dał ziemię ich w dziedzictwo; albowiem na wieki miłosierdzie jego;
22 Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
W dziedzictwo Izraelowi, słudze swemu; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
23 Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Który w uniżeniu naszem pamięta na nas; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
24 Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
I wybawił nas od nieprzyjaciół naszych; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
25 Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Który daje pokarm wszelkiemu ciału; albowiem na wieki miłosierdzie jego.
26 Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Wysławiajcież Boga niebios; albowiem na wieki miłosierdzie jego.