< Zaburi 136 >

1 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
خداوند را شکر گویید، زیرا او نیکوست و محبتش ابدیست.
2 Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
خدای خدایان را شکر گویید، زیرا محبتش ابدیست.
3 Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
خدای خدایان را شکر گویید، زیرا محبتش ابدیست.
4 Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
او را که معجزات عظیم می‌کند شکر کنید، زیرا محبتش ابدیست؛
5 Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
او را که آسمانها را با حکمت خویش آفرید شکر گویید، زیرا محبتش ابدیست؛
6 Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
او را که خشکی را بر آبها قرار داد شکر گویید، زیرا محبتش ابدیست؛
7 Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
او را که خورشید و ماه را در آسمان آفرید شکر گویید، زیرا محبتش ابدیست؛
8 Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
آفتاب را برای فرمانروایی بر روز آفرید، زیرا محبتش ابدیست؛
9 Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
و ماه و ستارگان را برای فرمانروایی بر شب، زیرا محبتش ابدیست.
10 Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
خدا را که پسران ارشد مصری‌ها را کشت شکر گویید، زیرا محبتش ابدیست؛
11 Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
او بنی‌اسرائیل را از مصر بیرون آورد، زیرا محبتش ابدیست؛
12 Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
با دستی قوی و بازویی بلند چنین کرد، زیرا محبتش ابدیست؛
13 Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
دریای سرخ را شکافت، زیرا محبتش ابدیست؛
14 Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
و بنی‌اسرائیل را از میان آن عبور داد، زیرا محبتش ابدیست؛
15 Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
فرعون و لشکر او را در دریای سرخ غرق ساخت، زیرا محبتش ابدیست.
16 Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
او را که قوم خود را در صحرا رهبری کرد شکر گویید، زیرا محبتش ابدیست.
17 Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
او پادشاهان بزرگ را زد، زیرا محبتش ابدیست؛
18 Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
و شاهان قدرتمند را از بین برد، زیرا محبتش ابدیست؛
19 Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
سیحون، پادشاه اموری‌ها، زیرا محبتش ابدیست؛
20 Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
و عوج، پادشاه باشان، زیرا محبتش ابدیست؛
21 Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
سرزمینهای ایشان را به میراث داد، زیرا محبتش ابدیست؛
22 Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
میراثی برای خادم خود اسرائیل، زیرا محبتش ابدیست.
23 Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
خداوندْ ما را در مشکلاتمان به یاد آورد، زیرا محبتش ابدیست؛
24 Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
او ما را از دست دشمنانمان نجات داد، زیرا محبتش ابدیست.
25 Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
او روزی همهٔ جانداران را می‌رساند، زیرا محبتش ابدیست.
26 Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
خدای آسمانها را شکر گویید، زیرا محبتش ابدیست.

< Zaburi 136 >