< Zaburi 136 >

1 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
여호와께 감사하라! 그는 선하시며 그 인자하심이 영원함이로다
2 Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
모든 신에 뛰어나신 하나님께 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
3 Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
모든 주에 뛰어나신 주께 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
4 Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
홀로 큰 기사를 행하시는 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
5 Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
지혜로 하늘을 지으신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이 로다
6 Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
땅을 물 위에 펴신이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
7 Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
큰 빛들을 지으신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
8 Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
해로 낮을 주관케 하신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
9 Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
달과 별들로 밤을 주관케 하신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
10 Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
애굽의 장자를 치신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
11 Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
이스라엘을 저희 중에서 인도하여 내신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
12 Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
강한 손과 펴신 팔로 인도하여 내신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
13 Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
홍해를 가르신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
14 Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
이스라엘로 그 가운데로 통과케 하신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
15 Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
바로와 그 군대를 홍해에 엎드러뜨리 신이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
16 Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
그 백성을 인도하여 광야로 통과케 하신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
17 Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
큰 왕들을 치신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
18 Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
유명한 왕들을 죽이신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
19 Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
아모리인의 왕 시혼을 죽이신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
20 Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
바산 왕 옥을 죽이신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
21 Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
저희의 땅을 기업으로 주신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
22 Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
곧 그 종 이스라엘에게 기업으로 주신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
23 Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
우리를 비천한 데서 기념하신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
24 Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
우리를 우리 대적에게서 건지신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
25 Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
모든 육체에게 식물을 주신 이에게 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다
26 Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
하늘의 하나님께 감사하라! 그 인자하심이 영원함이로다

< Zaburi 136 >