< Zaburi 136 >

1 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Mida akpe na Yehowa, elabena enyo.
2 Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Mida akpe na mawuwo dzi Mawu la,
3 Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Mida akpe na aƒetɔwo dzi Aƒetɔ la,
4 Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Eya ɖeka hɔ̃ɔ koe wɔa nukunu dzɔatsuwo,
5 Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Eya ame si tsɔ eƒe nugɔmesese wɔ dziƒowoe,
6 Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ame si keke anyigba ɖe tsiwo dzi,
7 Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ame si wɔ nu keklẽ gãwo,
8 Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Be ɣe naɖu ŋkeke dzi,
9 Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Be ɣleti kple ɣletiviwo naɖu zã dzi,
10 Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Eya ame si ƒo Egiptetɔwo ƒe ŋgɔgbeviwo ƒu anyi,
11 Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Eye wòkplɔ Israel do goe le wo dome,
12 Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kple asi sesẽ kple abɔ si wòdo ɖe dzi,
13 Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Eya ame si ma Ƒu Dzĩ la ɖe eve,
14 Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Eye wòkplɔ Israel to eƒe titina,
15 Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ke ekplɔ Farao kple eƒe aʋakɔ la de Ƒu Dzĩ la me,
16 Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
Eya ame si kplɔ eƒe dukɔ la to gbedzi,
17 Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
Ame si ƒo fia gãwo ƒu anyi,
18 Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Eye wòwu fia sesẽwo,
19 Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Sixɔn, Amoritɔwo ƒe fia,
20 Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
kple Ɔg, Basantɔwo ƒe fia,
21 Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Eye wòtsɔ woƒe anyigba wɔ domenyinu,
22 Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Domenyinu na eƒe dɔla, Israel,
23 Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Eya ame si ɖo ŋku mía dzi, esime wobɔbɔ mí ɖe anyi,
24 Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Eye wòɖe mí tso míaƒe futɔwo ƒe asi me,
25 Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Eya ame si naa nuɖuɖu nu gbagbe ɖe sia ɖe,
26 Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Mida akpe na Dziƒo Mawu la,

< Zaburi 136 >