< Zaburi 136 >
1 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Give ye thanks to Yahweh, for he is good, For, age-abiding, is his lovingkindness.
2 Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Give ye thanks to the God of gods, For, age-abiding, is his lovingkindness.
3 Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Give ye thanks to the Lord of lords, For, age-abiding, is his lovingkindness.
4 Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
To him that doeth great wonders, by himself alone, For, age-abiding, is his lovingkindness.
5 Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
To him that made the heavens with understanding, For, age-abiding, is his lovingkindness.
6 Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
To him that stretched out the earth above the waters, For, age-abiding, is his lovingkindness.
7 Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
To him that made great lights, For, age-abiding, is his lovingkindness.
8 Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
The sun to rule the day, For, age-abiding, is his lovingkindness.
9 Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
The moon and stars to rule the night, For, age-abiding, is his lovingkindness.
10 Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
To him that smote Egypt in their firstborn, For, age-abiding, is his lovingkindness.
11 Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
And brought forth Israel out of their midst, For, age-abiding, is his lovingkindness.
12 Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
With a firm hand, and a stretched-out arm, For, age-abiding, is his lovingkindness.
13 Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
To him that divided the Red Sea into division, For, age-abiding, is his lovingkindness.
14 Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
And caused Israel to pass through the midst thereof, For, age-abiding, is his lovingkindness.
15 Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
And shook off Pharaoh and his army in the Red Sea, For, age-abiding, is his lovingkindness.
16 Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
To him that led his people through the desert, For, age-abiding, is his lovingkindness.
17 Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
To him that smote great kings, For, age-abiding, is his lovingkindness.
18 Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
And slew majestic kings, For, age-abiding, is his lovingkindness.
19 Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Even Sihon, king of the Amorites, For, age-abiding, is his lovingkindness.
20 Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Also Og, king of Bashan, For, age-abiding, is his lovingkindness.
21 Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
And gave their land for an inheritance, For, age-abiding, is his lovingkindness.
22 Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
An inheritance to Israel his servant, For, age-abiding, is his lovingkindness.
23 Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Who in our low estate, remembered us, For, age-abiding, is his lovingkindness.
24 Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
And freed us with force from our adversaries, For, age-abiding, is his lovingkindness.
25 Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Who giveth food to all flesh, For, age-abiding, is his lovingkindness.
26 Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Give ye thanks unto the GOD of the heavens, For, age-abiding, is his lovingkindness.