< Zaburi 136 >

1 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Oslavujte Hospodina, nebo jest dobrý, nebo věčné jest milosrdenství jeho.
2 Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Oslavujte Boha bohů, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
3 Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Oslavujte Pána pánů, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
4 Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Toho, kterýž sám činí divy veliké, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
5 Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kterýž učinil nebesa moudře, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
6 Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kterýž roztáhl zemi na vodách, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
7 Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kterýž učinil světla veliká, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
8 Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Slunce, aby panovalo ve dne, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
9 Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Měsíc a hvězdy, aby panovaly v noci, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
10 Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kterýž ranil Egyptské v prvorozených jejich, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
11 Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
A vyvedl Izraele z prostředku jejich, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
12 Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
V ruce silné a v rameni vztaženém, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
13 Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kterýž rozdělil moře Rudé na díly, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
14 Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
A převedl Izraele prostředkem jeho, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
15 Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
A uvrhl Faraona s vojskem jeho do moře Rudého, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
16 Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
Kterýž vedl lid svůj přes poušť, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
17 Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
Kterýž pobil krále veliké, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
18 Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
A zbil krále znamenité, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
19 Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Seona krále Amorejského, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
20 Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Též Oga krále Bázan, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
21 Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
A dal zemi jejich v dědictví, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
22 Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
V dědictví Izraelovi, služebníku svému, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
23 Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kterýž v snížení našem pamatuje na nás, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
24 Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
A vytrhl nás z nepřátel našich, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
25 Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kterýž dává pokrm všelikému tělu, nebo jest věčné milosrdenství jeho.
26 Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Oslavujte Boha silného nebes, neboť jest věčné milosrdenství jeho.

< Zaburi 136 >