< Zaburi 136 >
1 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Yamikani Yehova chifukwa ndi wabwino.
2 Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Yamikani Mulungu wa milungu.
3 Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Yamikani Ambuye wa ambuye,
4 Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Iye yekhayo amene amachita zodabwitsa zazikulu,
5 Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Amene mwachidziwitso chake anapanga mayiko akumwamba,
6 Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Amene anayala dziko lapansi pamwamba pa madzi,
7 Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Amene anapanga miyuni ikuluikulu,
8 Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Dzuwa lilamulire usana,
9 Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Mwezi ndi nyenyezi zilamulire usiku,
10 Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Amene anakantha ana woyamba kubadwa a Igupto,
11 Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Natulutsa Israeli pakati pawo,
12 Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ndi dzanja lamphamvu ndi mkono wotambasuka,
13 Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Amene anagawa Nyanja Yofiira pakati,
14 Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Nadutsitsa Israeli pakati pa nyanjayo,
15 Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Koma anakokolola Farao ndi ankhondo ake mʼNyanja Yofiira,
16 Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
Amene anatsogolera anthu ake mʼchipululu
17 Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
Amene anakantha mafumu akuluakulu,
18 Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Napha mafumu amphamvu,
19 Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Siloni mfumu ya Aamori,
20 Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ogi mfumu ya Basani,
21 Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Napereka dziko lawo ngati cholowa,
22 Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Cholowa cha mtumiki wake Israeli;
23 Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Amene anatikumbukira ife anthu opeputsidwa,
24 Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Amene anatimasula kwa adani athu,
25 Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Amene amapereka chakudya kwa cholengedwa chilichonse,
26 Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Yamikani Mulungu wakumwamba,