< Zaburi 136 >

1 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
সদাপ্রভুর ধন্যবাদ করো, কারণ তিনি মঙ্গলময়।
2 Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
দেবতাদের ঈশ্বরের ধন্যবাদ করো।
3 Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
প্রভুদের প্রভুর ধন্যবাদ করো,
4 Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
তাঁর প্রশংসা করো যিনি একাই মহৎ ও আশ্চর্য কাজ করেন,
5 Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
যিনি নিজের প্রজ্ঞাবলে এই আকাশমণ্ডল সৃষ্টি করেছেন,
6 Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
যিনি জলধির উপরে পৃথিবী বিস্তার করেছেন,
7 Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
যিনি বড়ো বড়ো জ্যোতি সৃষ্টি করেছেন—
8 Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
দিনের উপর শাসন করতে সূর্য,
9 Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
রাত্রির উপর শাসন করতে চাঁদ ও তারকামালা;
10 Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
যিনি মিশরের প্রথমজাতদের আঘাত করেছিলেন,
11 Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
যিনি ইস্রায়েলকে তাদের মধ্য থেকে মুক্ত করলেন
12 Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
তাঁর শক্তিশালী হাত ও প্রসারিত বাহু দিয়ে;
13 Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
যিনি লোহিত সাগর দু-ভাগ করলেন
14 Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
যিনি ইস্রায়েলীদের তার মধ্যে দিয়ে বার করে আনলেন,
15 Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
কিন্তু ফরৌণ ও তার সেনাবাহিনীকে যিনি লোহিত সাগরে নিক্ষেপ করলেন;
16 Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
যিনি তাঁর প্রজাদের মরুপ্রান্তরের মধ্য দিয়ে পরিচালিত করলেন,
17 Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
যিনি মহান রাজাদের আঘাত করলেন,
18 Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
এবং শক্তিশালী রাজাদের বধ করলেন—
19 Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
ইমোরীয়দের রাজা সীহোনকে,
20 Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
বাশনের রাজা ওগকে
21 Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
এবং তাদের দেশ অধিকারস্বরূপ বণ্টন করলেন,
22 Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
নিজের দাস ইস্রায়েলকে অধিকার দিলেন,
23 Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
আমাদের দৈন্য দশায় তিনি আমাদের স্মরণ করলেন
24 Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
আমাদের শত্রুদের কবল থেকে আমাদের উদ্ধার করলেন,
25 Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
তিনি সব প্রাণীকে খাবার দেন,
26 Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
স্বর্গের ঈশ্বরের ধন্যবাদ করো।

< Zaburi 136 >