< Zaburi 135 >
1 Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
Hvalite ime Gospodnje, hvalite, sluge Gospodnje,
2 ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
Koji stojite u domu Gospodnjem, u dvorima doma Boga našega.
3 Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.
Hvalite Gospoda, jer je dobar Gospod; pojte imenu njegovu, jer je slatko.
4 Kwa kuwa Yahwe amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe, Israeli kama urithi wake.
Jer Jakova izabra sebi Gospod, Izrailja za dostojanje svoje.
5 Najua ya kuwa Yahwe ni mkuu, na kwamba Bwana wetu yuko juu ya miungu yote.
Jer poznah da je velik Gospod, i Gospod naš svrh svijeh bogova.
6 Chochote Yahwe apendacho, hufanya mbinguni, duniani, katika bahari na katika vilindi vyote.
Što god hoæe, sve Gospod èini, na nebesima i na zemlji, u morima i u svima bezdanima.
7 Hushusha mawingu kutoka mbali, akifanya mianga ya radi kuongozana na mvua na kuleta upepo toka katika ghala yake.
Izvodi oblake od kraja zemlje, munje èini usred dažda, izvodi vjetar iz staja njegovijeh.
8 Aliua mzaliwa wa kwanza wa Misri, wote wanadamu na wanyama.
On pobi prvence u Misiru od èovjeka do živinèeta.
9 Alituma ishara na maajabu kati yako Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
Pokaza znake i èudesa usred tebe, Misire, na Faraonu i na svijem slugama njegovijem.
10 Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
Pobi narode velike, i izgubi careve jake:
11 Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
Siona, cara Amorejskoga, i Oga, cara Vasanskoga, i sva carstva Hananska;
12 Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
I dade zemlju njihovu u dostojanje, u dostojanje Izrailju, narodu svojemu.
13 Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
Gospode! ime je tvoje vjeèno; Gospode! spomen je tvoj od koljena do koljena.
14 Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
Jer æe suditi Gospod narodu svojemu, i na sluge svoje smilovaæe se.
15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
Idoli su neznabožaèki srebro i zlato, djelo ruku èovjeèijih;
16 Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
Usta imaju, a ne govore; oèi imaju, a ne vide;
17 zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
Uši imaju, a ne èuju; niti ima dihanja u ustima njihovijem.
18 Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
Kakvi su oni onaki su i oni koji ih grade, i svi koji se uzdaju u njih.
19 Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
Dome Izrailjev, blagosiljaj Gospoda; dome Aronov, blagosiljaj Gospoda;
20 Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
Dome Levijev, blagosiljaj Gospoda; koji se bojite Gospoda, blagosiljajte Gospoda.
21 Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.
Blagosloven Gospod na Sionu, koji živi u Jerusalimu! Aliluja!