< Zaburi 135 >

1 Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
Aleluia! Louvai o nome do SENHOR; louvai [-o] vós, servos do SENHOR,
2 ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
Que prestais serviço na Casa do SENHOR, nos pátios da Casa do nosso Deus.
3 Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.
Louvai ao SENHOR, porque o SENHOR é bom; cantai louvores ao seu nome, porque é agradável;
4 Kwa kuwa Yahwe amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe, Israeli kama urithi wake.
Porque o SENHOR escolheu para si a Jacó, a Israel como propriedade sua;
5 Najua ya kuwa Yahwe ni mkuu, na kwamba Bwana wetu yuko juu ya miungu yote.
Porque eu sei que o SENHOR é grande, e nosso Senhor está acima de todos os deuses.
6 Chochote Yahwe apendacho, hufanya mbinguni, duniani, katika bahari na katika vilindi vyote.
O SENHOR faz tudo o que quer, nos céus, na terra, nos mares, e [em] todos os abismos.
7 Hushusha mawingu kutoka mbali, akifanya mianga ya radi kuongozana na mvua na kuleta upepo toka katika ghala yake.
Ele faz as nuvens subirem desde os confins da terra, faz os relâmpagos com a chuva; ele produz os ventos de seus tesouros.
8 Aliua mzaliwa wa kwanza wa Misri, wote wanadamu na wanyama.
Ele feriu os primogênitos do Egito, desde os homens até os animais.
9 Alituma ishara na maajabu kati yako Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
Ele enviou sinais e prodígios no meio de ti, Egito; contra Faraó, e contra todos os seus servos.
10 Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
Ele feriu muitas nações, e matou reis poderosos:
11 Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
Seom, rei dos amorreus, e Ogue, rei de Basã; e todos os reinos de Canaã.
12 Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
E deu a terra deles como herança; como herança a Israel, seu povo.
13 Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
Ó SENHOR, teu nome [dura] para sempre; [e] tua memória, SENHOR, de geração em geração.
14 Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
Porque o SENHOR julgará a seu povo; e terá compaixão de seus servos.
15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
Os ídolos das nações [são] prata e ouro; [são] obra de mãos humanas.
16 Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
Têm boca, mas não falam; têm olhos, mas não veem.
17 zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
Têm ouvidos, mas não ouvem; não têm respiração em sua boca.
18 Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
Tornem-se como eles os que os fazem, [e] todos os que confiam neles.
19 Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
Casa de Israel, bendizei ao SENHOR! Casa de Arão, bendizei ao SENHOR!
20 Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
Casa de Levi, bendizei ao SENHOR! Vós que temeis ao SENHOR, bendizei ao SENHOR.
21 Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.
Bendito seja o SENHOR desde Sião, ele que habita em Jerusalém. Aleluia!

< Zaburi 135 >