< Zaburi 135 >

1 Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
Hina Godema nodoma! Dilia Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu! Hina Gode Ea Dio nodone gaguia gadoma!
2 ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
Dilia amo da ninia Hina Gode Ea Debolo diasu ganodini lela. Ema nodoma!
3 Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.
Hina Godema nodoma! Bai E da noga: idafa. Ea Dio nodone gaguia gadoma! Bai E da asigidafa.
4 Kwa kuwa Yahwe amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe, Israeli kama urithi wake.
E da Ya: igobe Emagama: ne ilegei. E da Isala: ili fi dunu Emagama: ne ilegei.
5 Najua ya kuwa Yahwe ni mkuu, na kwamba Bwana wetu yuko juu ya miungu yote.
Na dawa: , Hina Gode da bagadedafa. E da eno ‘gode’ huluane baligi dagoi.
6 Chochote Yahwe apendacho, hufanya mbinguni, duniani, katika bahari na katika vilindi vyote.
E da mu amola osobo bagade amola hano wayabo bagade, amola hano wayabo lugudu, amo ganodini Ea hanaiga fawane hamosa.
7 Hushusha mawingu kutoka mbali, akifanya mianga ya radi kuongozana na mvua na kuleta upepo toka katika ghala yake.
E da osobo bagade bega: , mulu misusa: ginafoi amo oule maha. E da mulu misa: ne, ha: ha: na gala: sa. E da Ea liligi ligisisu diasuga, fo oule maha.
8 Aliua mzaliwa wa kwanza wa Misri, wote wanadamu na wanyama.
E da Idibidi sogega, magobo dunu mano, amola ohe fi magobo gawali, amo huluane defele, fane lelegei.
9 Alituma ishara na maajabu kati yako Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
Amogawi, E da hina bagade, amola ea eagene ouligisu dunu ilima se dabe ima: ne, musa: hame ba: su gasa bagade hou hamoi.
10 Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
E da fifi asi gala bagohame gugunufinisili, amola gasa bagade hina bagade dunu fane lelegei.
11 Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
E da Saihone (A: moulaide fi dunu ilia hina bagade) amola Oge (Ba: isia: ne fi hina bagade) amola Ga: ina: ne soge hina bagade dunu huluane fane lelegei.
12 Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
E da ilia soge huluane samogene, Ea Isala: ili fi dunu ilima sagoi dagoi.
13 Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
Hina Gode! Eso huluane, dunu ilia da Di fawane da Godedafa sisia: lamu. Fifi manebe huluanedafa, ilia da Di hame gogolemu.
14 Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
Hina Gode da Ea hawa: hamosu dunu ili gaga: mu. Bai ilia da hahani amola E da ilima asigisa.
15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
Dunu fifi asi gala ilia ‘gode’ da dunu ilia loboga silifa amola gouliga hamoi dagoi
16 Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
Ilia da lafi gala, be sia: baoumu hamedei. Ilia da si gala, be ba: mu gogolesa.
17 zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
Ilia da ge gala be nabimu hamedei. Ilia da mi gala, be amoga gaha amola gabusiga: nabimu hamedei.
18 Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
Dunu da amo loboga hamoi ogogosu ‘gode’ hahamoi amola ilima dafawaneyale dawa: sa, ilia da afadenene, amo ogogosu liligi ilia hamoi, amo defele hamomu da defea.
19 Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
Isala: ili fi dunu! Hina Godema nodoma! Gode Ea gobele salasu dunu! Ema nodoma!
20 Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
Dilia Lifai dunu! Hina Godema nodoma! Dunu huluane amo da Ema nodone sia: ne gadosa! Ema nodoma!
21 Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.
Saione Moilai Bai Bagade amo ganodini, Hina Godema nodoma! Yelusaleme da Ea esalebe moilai. Amo ganodini, Ema nodoma! Hina Godema nodoma!

< Zaburi 135 >