< Zaburi 134 >

1 Njoni, mtukuzeni Yahwe, enyi nyote watumishi wa Yahwe, ninyi mnaotumika hekaluni mwa Yahwe wakati wa usiku.
(성전에 올라가는 노래) 밤에 여호와의 집에 섰는 여호와의 모든 종들아 여호와를 송축하라!
2 Inueni mikono yenu patakatifu pake na mtukuzeni Yahwe.
성소를 향하여 너희 손을 들고 여호와를 송축하라!
3 Mungu na awabariki toka Sayuni, yeye aliye ziumba mbingu na nchi.
천지를 지으신 여호와께서 시온에서 네게 복을 주실지어다!

< Zaburi 134 >