< Zaburi 132 >

1 Yahwe, kwa ajili ya Daudi kumbuka mateso yake yote.
Un cántico de los peregrinos que van a Jerusalén. Señor, acuérdate de David, y todo por lo que él pasó.
2 Kumbuka ndiye aliye mwapia Yahwe, aliweka nadhiri kwa Shujaa wa Yakobo.
Él hizo una promesa al Señor, un pacto al Dios de Jacob:
3 Alisema, sitaingia nyumbani mwangu wala sitaenda kitandani mwangu,
“No iré a casa, no iré a la cama,
4 sitayapa macho yangu usingizi wala kope zangu kupumzika
no me iré a dormir, ni tomaré una siesta,
5 mpaka nitakapopata mahali kwa ajili ya Yahwe, na maskani kwa ajili ya Shujaa wa Yakobo.”
hasta que haya encontrado un lugar donde el Señor pueda vivir, un hogar para el Dios de Jacob”.
6 Tazama tulisikia kuhusu hilo katika Efrata; tuliipata katika konde la Yearimu.
En Efrata, oímos hablar del arca del pacto, y la encontramos en los campos de Yagar.
7 Tutaingia katika maskani ya Mungu; tutasujudu miguuni pake.
Vayamos al lugar donde mora el Señor y postrémonos ante sus pies en adoración.
8 Inuka, Ee Yahwe, uje mahali pako pa kupumzika, wewe na sanduku la nguvu zako!
Ven, Señor, y entra a tu casa, tú y tu arca poderosa.
9 Makuhani wako na wavikwe uadilifu; waaminifu wako washangilie.
Que tus sacerdotes se revistan de bondad; que los que te son leales griten de alegría.
10 Kwa ajili ya mtumishi wako Daudi, usimuache mfalme wako uliye mpaka mafuta.
Por el bien David, tu siervo, no le des a la espalda a tu ungido.
11 Yahwe alimwapia Daudi kiapo cha uhakika, kiapo cha uhakika ambacho hatakivunja: “Nitamuweka mmoja wa wazawa wako kwenye kiti chako cha enzi.
El Señor le hizo una promesa solemne a David, una que él una rompería, “pondré a uno de tus descendientes en tu trono.
12 Kama wana wako watalishika agano langu na sheria ambazo nitawafundisha, watoto wao pia watakaa kwenye kiti chako cha enzi milele.”
Si tus hijos siguen mis leyes y los acuerdos que les enseñe, también sus descendientes se sentarán en el trono para siempre”.
13 Hakika Yahwe ameichagua Sayuni, ameitamani kwa ajili ya makao yake.
Porque el Señor ha escogido a Sión, y quiso hacer su trono allí, diciendo:
14 “Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele. Nitaishi hapa, kwa kuwa ninapatamani.
“Esta siempre será mi casa; aquí es donde he de morar.
15 Nitapabariki sana kwa mahitaji. Nitawatosheleza maskini wake kwa mkate.
Proveeré a las personas de la ciudad todo lo que necesiten; alimentaré al pobre.
16 Nitawavisha makuhani wake kwa wokovu, waaminifu wake watashangilia kwa furaha.
Revestiré a sus sacerdotes con salvación; y los que le son leales gritarán de alegría.
17 Hapo nitachipusha pembe kwa ajili ya Daudi na kuweka taa juu kwa ajili ya mpakwa mafuta wangu.
Haré el linaje de David aún más poderoso. He preparado una lámpara para mi ungido.
18 Nitawavisha adui kwa aibu, bali juu yake taji yake itang'aa.”
Humillaré a sus enemigos, pero las coronas que él use brillarán fuertemente”.

< Zaburi 132 >