< Zaburi 132 >

1 Yahwe, kwa ajili ya Daudi kumbuka mateso yake yote.
Песнь восхождения. Вспомни, Господи, Давида и все сокрушение его:
2 Kumbuka ndiye aliye mwapia Yahwe, aliweka nadhiri kwa Shujaa wa Yakobo.
как он клялся Господу, давал обет Сильному Иакова:
3 Alisema, sitaingia nyumbani mwangu wala sitaenda kitandani mwangu,
“не войду в шатер дома моего, не взойду на ложе мое;
4 sitayapa macho yangu usingizi wala kope zangu kupumzika
не дам сна очам моим и веждам моим - дремания,
5 mpaka nitakapopata mahali kwa ajili ya Yahwe, na maskani kwa ajili ya Shujaa wa Yakobo.”
доколе не найду места Господу, жилища - Сильному Иакова”.
6 Tazama tulisikia kuhusu hilo katika Efrata; tuliipata katika konde la Yearimu.
Вот, мы слышали о нем в Ефрафе, нашли его на полях Иарима.
7 Tutaingia katika maskani ya Mungu; tutasujudu miguuni pake.
Пойдем к жилищу Его, поклонимся подножию ног Его.
8 Inuka, Ee Yahwe, uje mahali pako pa kupumzika, wewe na sanduku la nguvu zako!
Стань, Господи, на место покоя Твоего, - Ты и ковчег могущества Твоего.
9 Makuhani wako na wavikwe uadilifu; waaminifu wako washangilie.
Священники Твои облекутся правдою, и святые Твои возрадуются.
10 Kwa ajili ya mtumishi wako Daudi, usimuache mfalme wako uliye mpaka mafuta.
Ради Давида, раба Твоего, не отврати лица помазанника Твоего.
11 Yahwe alimwapia Daudi kiapo cha uhakika, kiapo cha uhakika ambacho hatakivunja: “Nitamuweka mmoja wa wazawa wako kwenye kiti chako cha enzi.
Клялся Господь Давиду в истине, и не отречется ее: “от плода чрева твоего посажу на престоле твоем.
12 Kama wana wako watalishika agano langu na sheria ambazo nitawafundisha, watoto wao pia watakaa kwenye kiti chako cha enzi milele.”
Если сыновья твои будут сохранять завет Мой и откровения Мои, которым Я научу их, то и их сыновья во веки будут сидеть на престоле твоем”.
13 Hakika Yahwe ameichagua Sayuni, ameitamani kwa ajili ya makao yake.
Ибо избрал Господь Сион, возжелал его в жилище Себе.
14 “Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele. Nitaishi hapa, kwa kuwa ninapatamani.
“Это покой Мой на веки: здесь вселюсь, ибо Я возжелал его.
15 Nitapabariki sana kwa mahitaji. Nitawatosheleza maskini wake kwa mkate.
Пищу его благословляя благословлю, нищих его насыщу хлебом;
16 Nitawavisha makuhani wake kwa wokovu, waaminifu wake watashangilia kwa furaha.
священников его облеку во спасение, и святые его радостью возрадуются.
17 Hapo nitachipusha pembe kwa ajili ya Daudi na kuweka taa juu kwa ajili ya mpakwa mafuta wangu.
Там возращу рог Давиду, поставлю светильник помазаннику Моему.
18 Nitawavisha adui kwa aibu, bali juu yake taji yake itang'aa.”
Врагов его облеку стыдом, а на нем будет сиять венец его”.

< Zaburi 132 >