< Zaburi 132 >

1 Yahwe, kwa ajili ya Daudi kumbuka mateso yake yote.
Sabo-Pionjonañe Ry Iehovà, tiahio t’i Davide ty amo falovilovia’eo.
2 Kumbuka ndiye aliye mwapia Yahwe, aliweka nadhiri kwa Shujaa wa Yakobo.
Ty nifantà’e am’ Iehovà, ty nititiha’e amy Tsitongerè’ Iakobey:
3 Alisema, sitaingia nyumbani mwangu wala sitaenda kitandani mwangu,
Toe tsy hizilik’ an-kibohon- trañoko ao raho ndra hijoñe am-pandreako nivelareñe ho ahiko ao:
4 sitayapa macho yangu usingizi wala kope zangu kupumzika
Tsy homeiko roro o masokoo, tsy hidrodreke o voho-masokoo,
5 mpaka nitakapopata mahali kwa ajili ya Yahwe, na maskani kwa ajili ya Shujaa wa Yakobo.”
ampara’ te ­hahatreavako toetse t’Iehovà, akiba ho a i Tsitongerè’ Iakobey.
6 Tazama tulisikia kuhusu hilo katika Efrata; tuliipata katika konde la Yearimu.
Jinanji’ay e Efrata izay, tendrek’ an-kodobo’ i alay:
7 Tutaingia katika maskani ya Mungu; tutasujudu miguuni pake.
Antao hionjoñe mb’an-Kivoho’e ao; antao hitalaho am-pitongoàm-pandia’e eo.
8 Inuka, Ee Yahwe, uje mahali pako pa kupumzika, wewe na sanduku la nguvu zako!
Miongaha ry Iehovà, miheova mb’am-pitofà’o mb’eo, Ihe naho i vatam-pañinan-kaozara’oy.
9 Makuhani wako na wavikwe uadilifu; waaminifu wako washangilie.
Ho lafihen-kavantañañe o mpisoro’oo, hipoñak’ an-kaehake o noro’oo.
10 Kwa ajili ya mtumishi wako Daudi, usimuache mfalme wako uliye mpaka mafuta.
Ty amy Davide mpitoro’oy, ko ampitolihe’o añe ty lahara’ i noriza’oy.
11 Yahwe alimwapia Daudi kiapo cha uhakika, kiapo cha uhakika ambacho hatakivunja: “Nitamuweka mmoja wa wazawa wako kwenye kiti chako cha enzi.
Nifanta mahity amy Davide t’Iehovà, vaho tsy hafote’e, ty hoe: Hampiambesareko ami’ty fiambesam-panjakà’o eo ty boak’ am-pañova’o ao;
12 Kama wana wako watalishika agano langu na sheria ambazo nitawafundisha, watoto wao pia watakaa kwenye kiti chako cha enzi milele.”
lehe ambe’ o ana’oo i fañinakoy naho ty taroko anareko iareo, le hiambesatse amy ­fiambesam-panjaka’oy nainai’e o ana’ iareoo.
13 Hakika Yahwe ameichagua Sayuni, ameitamani kwa ajili ya makao yake.
Toe jinobo’ Iehovà ty Tsiône, i fañiria’e ho fimoneña’ey:
14 “Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele. Nitaishi hapa, kwa kuwa ninapatamani.
Etoy ty fitofako nainai’e tsy modo; atoa ty himoneñako, fa fisalalàko—
15 Nitapabariki sana kwa mahitaji. Nitawatosheleza maskini wake kwa mkate.
Hogogoeko ty riha’e, ho eneñeko mahakama o mahàtra’eo.
16 Nitawavisha makuhani wake kwa wokovu, waaminifu wake watashangilia kwa furaha.
Hampisikineko fandrombahañe o mpisoro’eo, hisabo an-drebeke o noro’eo.
17 Hapo nitachipusha pembe kwa ajili ya Daudi na kuweka taa juu kwa ajili ya mpakwa mafuta wangu.
Ao ty hampitiriako ty tsifa’ i Davide; ao ty nañajariako failo’ i norizakoy.
18 Nitawavisha adui kwa aibu, bali juu yake taji yake itang'aa.”
Haombeko hasalarañe o rafelahi’eo, fe hipelapelatse añambone’e eo ty sabaka’e.

< Zaburi 132 >