< Zaburi 131 >

1 Yahwe, moyo wangu haujivuni wala macho yangu hayana kuburi. Sina matarajio makubwa kwa ajili yangu mwenyewe wala kujihofia kwa mambo ambayo yako juu ya uwezo wangu.
David kah Tangtlaeng Laa BOEIPA aw ka lungbuei sang pawt tih ka mik khaw a pomsang moenih. Te dongah kamah lakah aka tanglue rhoek neh a rhaisang taengah khaw ka pongpa pawh.
2 Hakika nimejituliza na kuinyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa na mama yake, nafsi yangu ndani yangu iko kama mtoto aliye achishwa.
Tedae ka hinglu khaw hal tih ka kuemsuem coeng. A manu taengkah suk aka toeng bangla ka khuikah ka hinglu khaw a toeng coeng.
3 Israeli, umtumainie Yahwe sasa na hata milele.
Aw Israel, tahae lamkah kumhal duela BOEIPA te ngaiuep lah.

< Zaburi 131 >