< Zaburi 13 >
1 Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
В конец, псалом Давиду.
2 Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
Доколе, Господи, забудеши мя до конца? Доколе отвращаеши лице Твое от мене?
3 Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
Доколе положу советы в души моей, болезни в сердцы моем день и нощь? Доколе вознесется враг мой на мя?
4 Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
Призри, услыши мя, Господи Боже мой: просвети очи мои, да не когда усну в смерть:
5 Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
да не когда речет враг мой: укрепихся на него.
6 Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.
Стужающии ми возрадуются, аще подвижуся. Аз же на милость Твою уповах: возрадуется сердце мое о спасении Твоем: воспою Господеви благодеявшему мне и пою имени Господа Вышняго.