< Zaburi 13 >
1 Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
Salmo de Davi, para o regente: Até quando, SENHOR, te esquecerás de mim? Para sempre? Até quando tu esconderás de mim o teu rosto?
2 Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
Até quando refletirei em minha alma, [tendo] tristeza em meu coração o dia todo? Até quando o meu inimigo se levantará contra mim?
3 Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
Olha [para mim, e] ouve-me, SENHOR meu Deus; ilumina os meus olhos, para que eu não adormeça [na] morte.
4 Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
Para que meu inimigo não diga: Eu o venci; e meus inimigos se alegrem, se eu vier a cair.
5 Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
Mas eu confio em tua bondade; em tua salvação meu coração se alegrará;
6 Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.
Cantarei ao SENHOR, porque ele tem me feito muito bem.