< Zaburi 13 >

1 Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
in finem psalmus David usquequo Domine oblivisceris me in finem usquequo avertis faciem tuam a me
2 Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
quamdiu ponam consilia in anima mea dolorem in corde meo per diem
3 Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
usquequo exaltabitur inimicus meus super me
4 Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
respice exaudi me Domine Deus meus inlumina oculos meos ne umquam obdormiam in mortem
5 Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
nequando dicat inimicus meus praevalui adversus eum qui tribulant me exultabunt si motus fuero
6 Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.
ego autem in misericordia tua speravi exultabit cor meum in salutari tuo cantabo Domino qui bona tribuit mihi et psallam nomini Domini altissimi

< Zaburi 13 >