< Zaburi 13 >

1 Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
to/for to conduct melody to/for David till where? LORD to forget me perpetuity till where? to hide [obj] face your from me
2 Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
till where? to set: consider counsel in/on/with soul my sorrow in/on/with heart my by day till where? to exalt enemy my upon me
3 Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
to look [emph?] to answer me LORD God my to light [emph?] eye my lest to sleep [the] death
4 Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
lest to say enemy my be able him enemy my to rejoice for to shake
5 Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
and I in/on/with kindness your to trust to rejoice heart my in/on/with salvation your
6 Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.
to sing to/for LORD for to wean upon me

< Zaburi 13 >