< Zaburi 13 >

1 Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
To the choirmaster a psalm of David. Until when? O Yahweh will you forget me perpetuity until when? - will you hide face your from me.
2 Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
Until when? will I set counsel in soul my sorrow in heart my by day until when? - will he be exalted enemy my over me.
3 Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
Pay attention! answer me O Yahweh God my give light to! eyes my lest I should sleep the death.
4 Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
Lest he should say enemy my I have prevailed over him opponents my they will rejoice if I am shaken.
5 Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
And I - in covenant loyalty your I have trusted may it rejoice heart my in deliverance your
6 Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.
I will sing to Yahweh for he has dealt bountifully towards me.

< Zaburi 13 >