< Zaburi 13 >
1 Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
To him that excelleth. A Psalme of Dauid. Howe long wilt thou forget me, O Lord, for euer? howe long wilt thou hide thy face from me?
2 Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
How long shall I take counsell within my selfe, hauing wearinesse dayly in mine heart? how long shall mine enemie be exalted aboue me?
3 Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
Beholde, and heare mee, O Lord my God: lighten mine eyes, that I sleepe not in death:
4 Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
Lest mine enemie say, I haue preuailed against him: and they that afflict me, reioyce when I slide.
5 Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
But I trust in thy mercie: mine heart shall reioyce in thy saluation:
6 Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.
I will sing to the Lord, because he hath delt louingly with me.