< Zaburi 129 >
1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
Dalla giovinezza molto mi hanno perseguitato, - lo dica Israele - Canto delle ascensioni.
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
dalla giovinezza molto mi hanno perseguitato, ma non hanno prevalso.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
Sul mio dorso hanno arato gli aratori, hanno fatto lunghi solchi.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
Il Signore è giusto: ha spezzato il giogo degli empi.
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
Siano confusi e volgano le spalle quanti odiano Sion.
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
Siano come l'erba dei tetti: prima che sia strappata, dissecca;
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
non se ne riempie la mano il mietitore, né il grembo chi raccoglie covoni.
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
I passanti non possono dire: «La benedizione del Signore sia su di voi, vi benediciamo nel nome del Signore».