< Zaburi 129 >
1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
Ein Stufenlied. / "Oft haben sie mich bedrängt von meiner Jugend an", / So möge Israel sprechen,
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
"Oft haben sie mich bedrängt von meiner Jugend an, / Doch sie haben mich nicht überwältigt.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
Auf meinem Rücken haben Pflüger gepflügt / Und ihre Furchen lang gezogen.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
Doch Jahwe, der Gerechte, / Er hat zerhaun der Frevler Strick."
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
Zuschanden werden und rückwärtsweichen / Sollen alle, die Zion hassen.
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
Sie sollen dem Gras auf den Dächern gleichen: / Das ist schon dürr, noch ehe man's ausrauft.
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
Damit füllt der Schnitter nicht seine Hand / Noch seinen Arm der Garbenbinder.
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
Die vorübergehen sagen auch nicht: / "Jahwes Segen sei über euch!" / Wir aber haben euch in Jahwes Namen gesegnet.