< Zaburi 129 >

1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
Cantique de Maaloth. Ils m'ont fort tourmenté dès ma jeunesse, peut bien dire Israël.
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
Ils m'ont fort tourmenté dès ma jeunesse, mais ils n'ont pas prévalu sur moi.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
Des laboureurs ont labouré mon dos; ils y ont tracé tout au long leurs sillons.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
L'Éternel est juste; il a coupé les cordes des méchants.
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
Tous ceux qui haïssent Sion seront rendus honteux et repoussés en arrière.
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
Ils seront comme l'herbe des toits, qui sèche avant qu'elle monte en tuyau;
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
Dont le moissonneur ne remplit pas sa main, ni le lieur de gerbes ses bras;
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
Et dont les passants ne disent pas: La bénédiction de l'Éternel soit sur vous! Nous vous bénissons au nom de l'Éternel!

< Zaburi 129 >