< Zaburi 129 >

1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
Cantique de Mahaloth. Qu'Israël dise maintenant: ils m'ont souvent tourmenté dès ma jeunesse.
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
Ils m'ont souvent tourmenté dès ma jeunesse; [toutefois] ils n'ont point encore été plus forts que moi.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
Des laboureurs ont labouré sur mon dos, ils y ont tiré tout au long leurs sillons.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
L'Eternel est juste; il a coupé les cordes des méchants.
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
Tous ceux qui ont Sion en haine, rougiront de honte, et seront repoussés en arrière.
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
Ils seront comme l'herbe des toits, qui est sèche avant qu'elle monte en tuyau;
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
De laquelle le moissonneur ne remplit point sa main, ni celui qui cueille les javelles [n'en remplit] point ses bras;
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
Et [dont] les passants ne diront point: la bénédiction de l'Eternel soit sur vous; nous vous bénissons au nom de l'Eternel.

< Zaburi 129 >