< Zaburi 129 >

1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
Cantique des montées. Ils m’ont cruellement opprimé dès ma jeunesse, — qu’Israël le dise! —
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
Ils m’ont cruellement opprimé dès ma jeunesse, mais ils n’ont pas prévalu contre moi.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
Ils ont labouré mon dos, ils y ont tracé de longs sillons.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
Mais Yahweh est juste: il a coupé les liens des méchants.
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
Qu’ils soient confondus et qu’ils reculent en arrière, tous ceux qui haïssent Sion!
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
Qu’ils soient comme l’herbe des toits, qui sèche avant qu’on l’arrache.
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
Le moissonneur n’en remplit pas sa main, ni celui qui lie les gerbes, son giron;
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
et les passants ne disent pas: « Que la bénédiction de Yahweh soit sur vous! » — « Nous vous bénissons au nom de Yahweh. »

< Zaburi 129 >