< Zaburi 129 >
1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
A Canticle in steps. They have often fought against me from my youth, let Israel now say:
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
they have often fought against me from my youth, yet they could not prevail over me.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
The sinners have made fabrications behind my back. They have prolonged their iniquity.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
The just Lord will cut the necks of sinners.
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
Let all those who hate Zion be confounded and turned backwards.
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
Let them be like grass on the rooftops, which withers before it can be pulled up:
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
with it, he who reaps does not fill his hand and he who gathers sheaves does not fill his bosom.
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
And those who were passing by have not said to them: “The blessing of the Lord be upon you. We have blessed you in the name of the Lord.”