< Zaburi 129 >
1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
De trængte mig haardt fra min Ungdom af — saa sige Israel! —
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
de trængte mig haardt fra min Ungdom af; dog kunde de ikke overvælde mig.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
Plovmændene pløjede paa min Ryg, de droge deres Furer lange.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
Herren er retfærdig, han overhuggede de ugudeliges Reb.
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
De skulle beskæmmes og vige tilbage, alle de, som hade Zion.
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
De skulle blive som Græs paa Tagene, som tørres, førend nogen oprykker det;
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
af hvilket Høstmanden ikke fylder sin Haand, ej heller den, som binder Neg, sin Arm.
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
Og de, som gaa forbi, sige ikke: Herrens Velsignelse være over eder! Vi velsigne eder i Herrens Navn.