< Zaburi 129 >

1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
Hodočasnička pjesma. “Mnogo su me od mladosti tlačili” - neka rekne sad Izrael!
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
“Mnogo su me od mladosti tlačili, ali me ne svladaše.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
Po leđima su mojim orači orali, duge brazde povlačili.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
Al' Jahve pravedni isiječe užeta zlikovcima!”
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
Nek' se postide i uzmaknu svi koji mrze Sion!
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
Nek' budu k'o trava na krovu što povene prije nego je počupaju.
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
Žetelac njome ne napuni ruku ni naručje onaj koji veže snopove.
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
A prolaznici nek' ne reknu: “Blagoslov Jahvin nad vama! Blagoslivljamo vas imenom Jahvinim!”

< Zaburi 129 >