< Zaburi 129 >
1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
Y Cantan Quinajulo. MEGAE na tiempo nae manapiniteyo desde y pinatgonjo: polo ya ualog Israel pago:
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
Megae na tiempo nae manapiniteyo desde y pinatgonjo: lao trabia ti mangana ni y ninasiñañija contra guajo.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
Y manmanalado jaalado gui jilo y tatalojo: janafananaco y sutcoñija.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
Si Jeova tunaegüe: güiya umutut y cuetdas y manaelaye.
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
Polo ya ufanmamajlao todo ayo y bumira sija tate, todo sija y chumatlie Sion.
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
Polo ya ufantaegüije y chaguan gui jilo guma, ni y anglo antes di udoco:
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
Ya chaña y manuutut chaguan munabubula y canaeña, ni y pechonña y manmanonojo.
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
Ni ujaalog ayo sija y manmalolofan, Y bendision Jeova usaga gui jilomo; jame bumendise jao pot y naan Jeova.