< Zaburi 129 >
1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
Isala: ili fi! Dia ha lai da di ayeligia amogainini dima se bagade iasu. Amo hou adodoma.
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
“Dafawane! Na ayeligia amoganini, nama ha lai dunu da dodona: giniwane nama se bagade iasu. Be ilia na hame hasalasi.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
Ilia da na baligia oso dogone fofa: gi. Na baligi da osobo gidinasuga dogoi agoai ba: i.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
Be Hina Gode da moloidafa amola E da na halegale masa: ne hamoi dagoi.”
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
Dunu huluane amo da Saione Moilai Bai Bagade higasa, ilia da hasali dagoiba: le baligidu masa: ne se bobogei ba: mu da defea.
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
Ilia huluane da gisi amo diasu figisu da: iya bugi dialebe agoai ba: mu da defea. Amo gisi da mae heda: le, hedolo biosa.
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
Dunu afae da amo gisi hame gagadosa amola gilisili la: gili hame gaguli ahoa.
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
Dunu afae da baligili ahoasea, amane hame sia: mu, “Hina Gode da dima hahawane dogolegele bagade imunu da defea! Ninia da Hina Gode Ea Dioba: le, dima hahawane dogolegele ganoma: ne sia: sa.”