< Zaburi 128 >

1 Amebarikiwa kila mtu amchaye Yahwe, atembeaye katika njia zake.
上行之詩。 凡敬畏耶和華、 遵行他道的人便為有福!
2 Kazi ya mikono yako, wewe utaifurahia; utabarikiwa na kufanikiwa.
你要吃勞碌得來的; 你要享福,事情順利。
3 Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao katika nyumba yako; wanao watakuwa kama miche ya mimea ya mizeituni wakaapo kuzunguka meza yako.
你妻子在你的內室,好像多結果子的葡萄樹; 你兒女圍繞你的桌子,好像橄欖栽子。
4 Ndiyo, hakika, mtu anaye muheshimu Yahwe atabarikiwa.
看哪,敬畏耶和華的人必要這樣蒙福!
5 Mungu na akubariki toka Sayuni; na uweze kuona mafanikio ya Yerusalemu siku zote za maisha yako.
願耶和華從錫安賜福給你! 願你一生一世看見耶路撒冷的好處!
6 Uishi uwaone wana wa wanao. Amani iwe na Israli.
願你看見你兒女的兒女! 願平安歸於以色列!

< Zaburi 128 >