< Zaburi 128 >

1 Amebarikiwa kila mtu amchaye Yahwe, atembeaye katika njia zake.
Y Cantan Quinajulo. DICHOSO ayo y maañao as Jeova; ni y mamomocat, gui chalanña sija.
2 Kazi ya mikono yako, wewe utaifurahia; utabarikiwa na kufanikiwa.
Sa uncano y finachocho y canaemo: siempre unmagof yan umauleg para jago.
3 Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao katika nyumba yako; wanao watakuwa kama miche ya mimea ya mizeituni wakaapo kuzunguka meza yako.
Y asaguamo utaegüije y trongcon ubas ni y bula tinegcha gui jalom guimamo: y famaguonmo manparejo yan y tinanom olibo gui oriyan y lamasamo.
4 Ndiyo, hakika, mtu anaye muheshimu Yahwe atabarikiwa.
Estagüe, taegüijeja y bendisionña ni y maañao as Jeova.
5 Mungu na akubariki toka Sayuni; na uweze kuona mafanikio ya Yerusalemu siku zote za maisha yako.
Si Jeova ubinendisejao gui Sion; ya unlie y minauleg guiya Jerusalem todo y jaanin y linâlâmo.
6 Uishi uwaone wana wa wanao. Amani iwe na Israli.
Magajet na unlie y famaguon y famaguonmo. Pas ugaegue guiya Israel.

< Zaburi 128 >