< Zaburi 127 >
1 Yahwe asipoijenga nyumba, waijengao wafanya kazi bure. Yahwe asipoulinda mji, aulindaye afanya kazi bure.
Pieśń stopni dla Salomona. Jeśli PAN nie zbuduje domu, na próżno trudzą się ci, którzy go wznoszą; jeśli PAN nie będzie strzegł miasta, na próżno czuwa strażnik.
2 Ni kazi bure kwa wewe unayeamka mapema, na kulala kwa kuchelewa, au kula mkate kwa kuufanyia kazi ngumu, maana Yahwe huwapa chakula awapendao hata wawapo usingizini.
Daremne jest dla was wstawać rano, wysiadywać do późna i jeść chleb boleści, bo to on daje sen swemu umiłowanemu.
3 Tazama, wana ni urithi kutoka kwa Yahwe, uzao wa tumbo ni thawabu kutoka kwake.
Oto dzieci [są] dziedzictwem od PANA, a owoc łona nagrodą.
4 Kama mishale mkononi mwa shujaa, ndivyo walivyo wana wa ujanani.
Jak strzały w ręku mocarza, tak [są] dzieci [zrodzone] za młodu.
5 Ni namna gani alivyo barikiwa mtu ambaye amelijaza podo lake hivyo. Hata aibishwa pindi atakapo kabiliana na adui zake katika lango.
Błogosławiony mąż, który napełnił nimi swój kołczan; nie doznają wstydu, gdy się w bramie będą rozprawiać z nieprzyjaciółmi.