< Zaburi 127 >

1 Yahwe asipoijenga nyumba, waijengao wafanya kazi bure. Yahwe asipoulinda mji, aulindaye afanya kazi bure.
Unless Adonai builds the house, they labor in vain who build it. Unless Adonai watches over the city, the watchman guards it in vain.
2 Ni kazi bure kwa wewe unayeamka mapema, na kulala kwa kuchelewa, au kula mkate kwa kuufanyia kazi ngumu, maana Yahwe huwapa chakula awapendao hata wawapo usingizini.
It is vain for you to rise up early, to stay up late, eating the bread of toil; for he gives sleep to his yadid ·beloved· ones.
3 Tazama, wana ni urithi kutoka kwa Yahwe, uzao wa tumbo ni thawabu kutoka kwake.
Behold, children are a heritage of Adonai. The fruit of the womb is his reward.
4 Kama mishale mkononi mwa shujaa, ndivyo walivyo wana wa ujanani.
As arrows in the hand of a mighty man, so are the children of youth.
5 Ni namna gani alivyo barikiwa mtu ambaye amelijaza podo lake hivyo. Hata aibishwa pindi atakapo kabiliana na adui zake katika lango.
Happy is the man who has his quiver full of them. They won’t be disappointed when they speak with their enemies in the gate.

< Zaburi 127 >