< Zaburi 126 >
1 Bwana alipowarejesha mateka wa Sayuni, tulikuwa kama waotao ndoto.
上主帶領俘虜回到熙雍,我們覺得仿佛是在夢中;
2 Vinywa vyetu vilijawa na vicheko na ndimi zetu zilijawa na kuimba. Kisha wakasema kati ya mataifa, “Yahwe amewatendea mambo makuu.”
那時我們滿口喜氣盈盈,我們雙脣其樂融融。那時外邦異民讚歎不已:上主向他們行了何等奇事!
3 Yahwe alitufanyia mambo makuu; ni furaha gani tuliyokuwa nayo!
上主向我們行偉大奇蹟,我們的確覺得滿心歡喜。
4 Ee Yahwe, uwarejeshe mateka wetu, kama vijito vya kusini.
上主,求您轉變我們的命運!就像乃革布有流水的澆淋。
5 Wale wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha.
含淚播種的人,必含笑的收成;
6 Yeye aendaye akilia, akibeba mbegu kwa ajili a kupanda, atarudi tena kwa kelele za furaha, akileta miganda yake.
他們邊行邊哭,出去播種耕耘,他們載欣載奔,回來背著禾捆。