< Zaburi 125 >

1 Wale wamwaminio Yahwe ni kama mlima Sayuni, hautikisiki, wadumu milele.
Cantique des degrés. Ceux qui se confient dans le Seigneur sont comme la montagne de Sion: il ne sera jamais ébranlé, celui qui habite
2 Kama milima inavyo izunguka Yerusalemu, hivyo ndivyo Yahwe anavyo wazunguka watu wake sasa na hata milele.
Dans Jérusalem. Des montagnes sont autour d’elle, et le Seigneur autour de son peuple, dès ce moment et jusqu’à jamais.
3 Fimbo ya uovu haitatawala katika nchi ya wenye haki. Vinginevyo wenye haki wanaweza kukosea.
Parce que le Seigneur ne laissera pas la verge des pécheurs sur l’héritage des justes, afin que les justes n’étendent point leurs mains vers l’iniquité.
4 Ee Yahwe, utende wema kwa wale walio wema na wale walio wanyoofu mioyoni mwao.
Faites du bien, Seigneur, aux bons, et aux droits de cœur.
5 Lakini kwa wale wanaogeukia njia zao za upotovu, Yahwe atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani iwe na Israeli.
Mais ceux qui se détournent dans les voies tortueuses, le Seigneur les amènera avec ceux qui opèrent l’iniquité: paix sur Israël.

< Zaburi 125 >