< Zaburi 125 >

1 Wale wamwaminio Yahwe ni kama mlima Sayuni, hautikisiki, wadumu milele.
Cantique des degrés. Ceux qui ont foi dans le Seigneur sont comme la montagne de Sion. Il ne sera point ébranlé dans les siècles des siècles, celui qui habite en Jérusalem.
2 Kama milima inavyo izunguka Yerusalemu, hivyo ndivyo Yahwe anavyo wazunguka watu wake sasa na hata milele.
Des montagnes sont alentour, et le Seigneur à l'entour de son peuple, maintenant et dans les siècles des siècles.
3 Fimbo ya uovu haitatawala katika nchi ya wenye haki. Vinginevyo wenye haki wanaweza kukosea.
Le Seigneur ne permettra pas que la verge des pécheurs soit toujours sur l'héritage des justes, de peur que les justes n'étendent leurs mains à l'iniquité.
4 Ee Yahwe, utende wema kwa wale walio wema na wale walio wanyoofu mioyoni mwao.
Seigneur: bénis les bons et ceux qui ont le cœur droit.
5 Lakini kwa wale wanaogeukia njia zao za upotovu, Yahwe atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani iwe na Israeli.
Ceux qui vont dans les sentiers détournés, le Seigneur les conduira parmi les ouvriers d'iniquité: paix sur Israël!

< Zaburi 125 >