< Zaburi 125 >

1 Wale wamwaminio Yahwe ni kama mlima Sayuni, hautikisiki, wadumu milele.
Une chanson d'ascension. Ceux qui se confient en Yahvé sont comme la montagne de Sion, qui ne peut pas être déplacé, mais qui reste pour toujours.
2 Kama milima inavyo izunguka Yerusalemu, hivyo ndivyo Yahwe anavyo wazunguka watu wake sasa na hata milele.
Comme les montagnes entourent Jérusalem, Ainsi Yahvé entoure son peuple dès maintenant et pour toujours.
3 Fimbo ya uovu haitatawala katika nchi ya wenye haki. Vinginevyo wenye haki wanaweza kukosea.
Car le sceptre de la méchanceté ne restera pas sur le lot des justes, afin que les justes n'utilisent pas leurs mains pour faire le mal.
4 Ee Yahwe, utende wema kwa wale walio wema na wale walio wanyoofu mioyoni mwao.
Fais du bien, Yahvé, à ceux qui sont bons, à ceux qui sont droits dans leur cœur.
5 Lakini kwa wale wanaogeukia njia zao za upotovu, Yahwe atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani iwe na Israeli.
Mais quant à ceux qui se détournent vers leurs voies tortueuses, Yahvé les emmènera avec les ouvriers de l'iniquité. Que la paix soit avec Israël.

< Zaburi 125 >