< Zaburi 125 >

1 Wale wamwaminio Yahwe ni kama mlima Sayuni, hautikisiki, wadumu milele.
A Song of degrees. They that trust in the LORD shall be as mount Zion, which cannot be removed, but abideth for ever.
2 Kama milima inavyo izunguka Yerusalemu, hivyo ndivyo Yahwe anavyo wazunguka watu wake sasa na hata milele.
As the mountains surround Jerusalem, so the LORD surroundeth his people from henceforth even for ever.
3 Fimbo ya uovu haitatawala katika nchi ya wenye haki. Vinginevyo wenye haki wanaweza kukosea.
For the rod of the wicked shall not rest upon the lot of the righteous; lest the righteous put forth their hands to iniquity.
4 Ee Yahwe, utende wema kwa wale walio wema na wale walio wanyoofu mioyoni mwao.
Do good, O LORD, to those that are good, and to them that are upright in their hearts.
5 Lakini kwa wale wanaogeukia njia zao za upotovu, Yahwe atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani iwe na Israeli.
As for such as turn aside to their crooked ways, the LORD shall lead them forth with the workers of iniquity: but peace shall be upon Israel.

< Zaburi 125 >